Muhtasari
• Klabu ya Simba sports club Jumatano tarehe 26/01/2022 ilichabangwa bao moja komboa ufe dhidi ya Kagera Sugar, katika mtanange wa ligi kuu nchini Tanzania.
• Hadi dakika ya mapumziko, miamba hao wawili walikuwa bado hawajashuhudia bao katika lango la mwenzie.
• Sasa Simba wanasimama alama 10 nyuma ya wapinzani wao wa jadi Young Africans (Yanga) ambao wanaongoza jedwali kwa alama 35.