logo

NOW ON AIR

Listen in Live

[Video] Wachanganuzi 'feki' wawakosha mashabiki mtandaoni

Wachambuzi wawavunja mbavu mashabiki kwa mtindo wao wa kuchanganua soka.

image
na Radio Jambo

Habari22 April 2022 - 05:34

Muhtasari


• Wachanganuzi wa kandanda wawakosha mashabiki kwa mtindo wa shughuli yao.

Ngolo Kante

Wachanganuzi wa mpira wa miguu huko Tanzania wamewakosha mashabiki mitandaoni kufuatia mbinu yao ya kudadisi na kuchanganua kabumbu.

Wanamitandao wengi walisema kwamba hao ni miongoni mwa wachanganuzi ambao hawana maelezo ya kina ila wanatumia mbinu za utani kuwasilisha ujumbe wao.

Je unawafahamu wachambuzi gani humu nchini ambao unaweza kuwafananisha na hawa?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved