logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha: Sakaja aongoza mashabiki wa Ingwe kucheza Ishikuti

Sakaja ambaye anawania kuwa gavana wa Nairobi ni shabiki sugu wa AFC Leopards.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri25 April 2022 - 07:27

Muhtasari


• Sakaja ambaye anawania kuwa gavana wa Nairobi ni shabiki sugu wa AFC Leopards

Licha ya timu ya AFC Leopards kulazwa na Tusker katika mchuano wa ligi ya kuu FKF siku ya Jumapili, Seneta wa Nairobi Johnson Sakaja aliwaacha mashabiki wengi wakiwa na furaha kwa mbwembwe zake za kupiga Isikuti.

Sakaja ambaye anawania kuwa gavana wa Nairobi ni shabiki sugu wa AFC Leopards.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved