logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kombe la Dunia 2022: Cristiano Ronaldo 'mwenye fikra kamili za kiakili’ kwa kushinda penati ya Ureno – Fifa

Ronaldo mwenye umri wa miaka 37 alikuwa mtu wa kwanza kufunga magoli ya penati

image
na Radio Jambo

Habari26 November 2022 - 23:59

Muhtasari


  • TSG, ambayo inaongozwa na meneja wa zamani wa Arsenal manager Arsene Wenger, hutazama kila mechi na kutoa tathmini

Cristiano Ronaldo ameitwa "mwenye fikra kamli za kiakili’ kamili na Fifa kwa jinsi alivyoshinda bao la penati ya Ureno katika ushindi wao katika mechi Kombe la Dunia dhidi ya Ghana.

Ronaldo mwenye umri wa miaka 37 alikuwa mtu wa kwanza kufunga magoli ya penati katika mashindano Matano tofauti ya Kombe la Dunia, baada ya kufunga bao kwa mkwaju wa penati.

Ureno ilishinda 3-2, lakini kutolewa kwa penati kulimghadhabisha menja wa Ghana Otto Addo, ambaye alisema "haikuwa penati ".

Katika mkutano wa wandishi wa habari mjini Doha, mjumbe wa Kikundi cha Fifa cha kiufundi(TSG) , Sunday Oliseh alisema washambuliaji "wanakuwa bora zaidi".

TSG, ambayo inaongozwa na meneja wa zamani wa Arsenal manager Arsene Wenger, hutazama kila mechi na kutoa tathmini ikiwa ni pamoja na data za ubora wa uchezaji na mitindo ya mchezo.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved