logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jinsi majambazi wenye silaha walivyovamia nyumba ya Aubameyang familia yote ikiwa ndani

Tukio hilo halikuacha tu makovu ya kimwili bali pia majeraha makubwa ya kisaikolojia ndani ya familia yake.

image
na Samuel Mainajournalist

Football09 January 2025 - 08:14

Muhtasari


  • Aubameyang alieleza kwa kina jinsi mtoto wake mkubwa alivyomtahadharisha kuhusu kuwepo kwa wavamizi hao.
  • Shambulio hilo liliiacha familia ya Aubameyang ikiwa na majeraha ya kisaikolojia.