logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ligi kuu ya Kenya kurejea Jumamosi na Jumapili

Shabana Fc watamenyana na Tusker Jumamosi katika uwanja wa Gusii kuanzia saa nane mchana

image
na Brandon Asiema

Football09 January 2025 - 10:20

Muhtasari


  • Ligi hiyo ilihairishwa mechi za wikendi iliyopita kutokana na mabadiliko ya ofisini yanayofanywa na uongozi mpya.