logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu zaidi kuhusu Drow ya ligii ya Europa kuelekea raundi ya 16

Baada ya kukamilika kwa michuano ya awamu ya makundi kwenye ligii ya Europa sasa macho yote yameelekezwa kwa awamu ya 16 ambayo itachezwa kati ya tarehe 6 na 13 mwezi Machi.

image
na Japheth Nyongesa

Football21 February 2025 - 16:06

Muhtasari


  • AZ Alkmaar itacheza dhidi ya Tottenharm.

    Droo ya UEFA Europa League ya 2024/25 ya raundi ya 16, robo fainali na nusu fainali ilifanyika Ijumaa 21 Februari katika Baraza la Soka la Ulaya huko Nyon, Uswizi.

    Baada ya kukamilika kwa michuano ya awamu ya makundi kwenye ligii ya Europa sasa macho yote yameelekezwa kwa awamu ya 16 ambayo itachezwa kati ya tarehe 6 na 13 mwezi Machi.

     Washindi wanane wa awamu ya hatua ya mtoano - ambayo ilifanyika Februari 13 na 20 - wanajiunga na timu nane za juu kutoka awamu ya ligi katika raundi ya 16.

    Timu ambazo zilichukua nafasi za juu, moja hadi nane zitachuana na zile nane ambazo zilishinda baada ya michuano ya kutowana.

    Hizi hapa ndizo timu ambazo zilichukua nane bora.

    Tottenham ( ya ungereza)

    Athletic Club (ya Espanyol]

    Eintracht Frankfurt (Germany)

    Lazio (Italy)

    Lyon (France)

    Manchester United (ya ungereza]

    Olympiacos (ugiriki)

    Rangers (Scotland)

    Washindi wa awamu ya kucheza kutowana

    Ajax (NED)

    AZ Alkmaar (Netherland)

    Bodø/Glimt (Norway)

    FCSB (ROU)

    Fenerbahçe (Turkey)

    Real Sociedad (Espernyol)

    Roma (ya italia]

    Viktoria Plzeň (Czech)

    Washindi ambao walishinda baada ya michuano ya kutowana

    Real Sociedad itachuana na  Manchester United

    Ajax  itachuana na Eintracht Frankfurt

    Bodø/Glimt vs Olympiacos

    Viktoria Plzeň  itachuana na Lazio

    Fenerbahçe itachuana na  Rangers

    Roma itachuana na  Athletic Club

    FCSB itachuana na  Lyon

    AZ Alkmaar itacheza dhidi ya Tottenharm.

    vilabu hivyo viliunganishwa kulingana na nafasi zao mwishoni mwa awamu ya ligi ili kuunda jozi nne (vilabu katika nafasi 1 hadi 8

    vilabu vilipangwa katika moja ya nafasi mbili katika raundi ya 16 dhidi ya mshindi husika wa awamu ya mtoano, ambaye nafasi yake iliamuliwa na droo ya awamu ya mtoano.





    RADIO JAMBO FREQUENCIES

    Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


    logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved