Unafaa kuwa makini kuzitambua ishara hizi

Utajuaje upo katika uhusiano pekee yako?+Podi ya Yusuf Juma

Wakati mwingine ,mwenzako hayuko nawe katika mkondo mmoja

Muhtasari
  •  Unapojipata pekee yako katika mahusiano hukuziona ishara lakini zipo
  •  Hakuna kitu kibaya kama kufikiria upo katika uhusiano kumbe kwa mwenzako ,ni kupoteza muda 

 

Podi:Yusuf Juma na Mutala Mukosia

 Leo katika podi hii tunakupa ishara zote ambazo zinafaa kukuonyesha kwamba upo pekee yako katika uhusiano ama ndoa .Endapo utaziona daalili hizi basi anza kujipa shughuli kwa sababu mwenzio ,hayupo nawe katika Njia moja

Leo katika podi hii tunakupa ishara zote ambazo zinafaa kukuonyesha kwamba upo pekee yako katika uhusiano ama ndoa .Endapo utaziona daalili hizi basi anza kujipa shughuli kwa sababu mwenzio ,hayupo nawe katika Njia moja

 Mwenzako akiwa kwenye simu anapiga kicheko sana lakini ukimwangalia amenuna .je ,uhusiano wako na mwenzio uko vipi? Sikiza Podi nzima hapa na nyingine zilizoambatanishwa hapa