logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Alikatalia kwa nyumba yangu na tukaanza kuishi kama mume na Mke+Podi ya Yusuf Juma

Vituko vya jinsi ndoa nyingine zilivyoanza kama utani

image
na Radio Jambo

Yanayojiri18 October 2020 - 16:16

Muhtasari


  •  Kuna waliofanya mpango ,uchumba na kadhalika hadi kuamua kufunga ndoa 
  •  Lakini kunao waliojipata tu katika hali ya kuanza maisha katika ndoa bila kupanga 

 

 Katika Podi ya leo sikiliza jinsi watu walivyojipata katika ndoa bila mpango .  Jamaa amefichua jinsi mwana dada alivyokatalia katika nyumba yao akifikiri ni mzaha kumbe kweli alikuwa  amemba virago vyake vyote na kuhamia  pale kama mke .Na hapo ndipo safari yao kama mume na mke ilivyoanza 

 Jamaa alifikiri ilikuwa mzaha kwamba mwana dada amebeba nguo zake zote ili kuhamia kwake kumbe alikuwa ashafanya uamuzi wa kuolewa bila uhusiano ,wala posa .

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved