logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ni baada ya muda upi unapofaa 'kumfungulia mwenzako tunda' katika mahusiano+Podi ya Yusuf Juma

Hakuna aliye na jibu kuhusu muda unaofaa

image
na Radio Jambo

Burudani25 October 2020 - 11:59

Muhtasari


 

  •  Hakuna aliye na jibu kuhusu muda unaofaa 
  • Wengi wameshiriki tendo hilo baada ya hata ya siku kadhaa ,wengine miezi na hata kunao wanaomaliza mwaka 

 

 

 Katika Podi ya leo tunajadili ni muda upi ambao watu katika uhusiano mpya wanafaa kuamua kwamba wakati umewadia kujuana kimwili .Inafahamika kwamba  inahitajika watu kungoja hadi wakati wanapofunga ndoa ,lakini tusidanganye   kwa sababu yanafanyika haya bila uthibiti na muda  ni bora kuzungumza kuhusu hilo 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved