Muhtasari
- Hakuna aliye na jibu kuhusu muda unaofaa
- Wengi wameshiriki tendo hilo baada ya hata ya siku kadhaa ,wengine miezi na hata kunao wanaomaliza mwaka
Katika Podi ya leo tunajadili ni muda upi ambao watu katika uhusiano mpya wanafaa kuamua kwamba wakati umewadia kujuana kimwili .Inafahamika kwamba inahitajika watu kungoja hadi wakati wanapofunga ndoa ,lakini tusidanganye kwa sababu yanafanyika haya bila uthibiti na muda ni bora kuzungumza kuhusu hilo
Katika uhusiano mpya mtu anafaa kumaliza muda gani kabla ya kufanya tendo la ndoa? Leo katika podi tunajidili hilo