Katika Podi hii tunajadili unafiki na mjadala mkubwa unaozingira uala zima la ndoa za mke zaidi ya mmoja .Inadaiwa kwamba iwapo kila mwanamme angepewa fursa na uwezo basi angekuwa na mke zaidi ya mmoja .
Tatizo ni kwamba kunao walio katika ndoa za mke mmoja lakini wana msururu wa wapenzi wa pembeni.Mababau zetu walifaulu vipi kuishi katika ndoa za namna hiyo na ni vipi kizai cha sasa kinapojipata mashakani kuhusu suala hilo?