logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Polygamy : Je, ni kweli kwamba kila mwanamume anataka kuwa na zaidi ya mke mmoja? #PodiyaYusufJuma

Wanaume wengi wakipewa fursa  na uwezo watajipata na mke zaidi ya mmoja

image
na Radio Jambo

Habari02 December 2020 - 10:06

Muhtasari


  •  Wanaume wengi wakipewa fursa  na uwezo watajipata na mke zaidi ya mmoja 
  •  Katika Podi hii sikiliza kuhusu  unafiki unozingira suala hili zima la ndoa za mke zaidi ya mmoja 

 

Katika Podi hii tunajadili unafiki na mjadala mkubwa unaozingira uala zima la ndoa za mke zaidi ya mmoja .Inadaiwa kwamba iwapo kila mwanamme angepewa fursa na uwezo basi angekuwa na mke zaidi ya mmoja .

Tatizo ni kwamba kunao walio katika ndoa za mke mmoja lakini wana msururu wa wapenzi wa pembeni.Mababau zetu walifaulu vipi kuishi katika ndoa za namna hiyo na ni vipi kizai cha sasa kinapojipata mashakani kuhusu suala hilo?

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved