logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Uchambuzi wa hali ya kisiasa Nchini Kenya na uchaguzi uliokamilika nchini Uganda#PodiyaYusufJuma

Hali itakuaje iwapo kweli rais  Uhuru hatamuunga mkono naibu  wake Ruto kama alivyomuahidi?

image
na Radio Jambo

Yanayojiri26 January 2021 - 05:28

Muhtasari


 

  •  Hali itakuaje iwapo kweli rais  Uhuru hatamuunga mkono naibu  wake Ruto kama alivyomuahidi?
  •  Je,nchini Uganda  Bobi Wine atapata haki kupitia mahakama ambao majaji wake wanateuliwa na rais Museveni?

 

 Katika Podcast hii tunatathmini hali ya kisiasa nchini Kenya baada ya kuibuka makundi mawili kuhusu anayefaa kumrithi rais Uhuru kenyatta na pia tunaangazia kinachofuatia nchini Uganda baada ya Rais Yoweri Museveni kushinda hatamu ya sita kuongoza taifa hilo

 Maajuzi  rais Uhuru Kenyatta alijitokeza kutoa usemi ambao  uliwaacha wengi vinywa wazi  aliposema kwamba huenda wakati umewadia kwa taifa kuongozwa na  mtu kutoka kabila tofauti kando na jamii  za kikuyu na Kalenjin .

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved