logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Abdulswamad Nassir aongoza kura ya maoni kwa ugavana wa Mombasa

Nassir ana asilimia 40 akifuatwa na Mike Sonko kwa asilimia 28.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri06 May 2022 - 13:24

Muhtasari


• Utafiti huo ulifanywa Aprili 2022, na kuchukua sampuli za wahojiwa 1949 katika kaunti za Nairobi, Makueni na Mombasa, na ulikuwa na asilimia 4 ya kasoro.

Iwapo uchaguzi ungefanyika leo, Mbunge wa Mvita Abdulswamad Nassir atamrithi Gavana Hassan Joho, huku aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko akimaliza katika nafasi ya pili.

Kulingana na kura ya maoni iliyotolewa na shirika la Tifa Nassir ndiye mgombeaji maarufu wa ugavana kwa asilimia 40 akifuatwa na aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kwa asilimia 28.

Utafiti huo ulifanywa Aprili 2022, na kuchukua sampuli za wahojiwa 1949 katika kaunti za Nairobi, Makueni na Mombasa, na ulikuwa na asilimia 4 ya kasoro.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved