Naibu Rais William Ruto amempigia kura Sugoi.
Mgombea urais wa Kenya Kwanza alifika katika kituo cha kupigia kura pamoja na mkewe Mama Rachel Ruto.
Maafisa wa IEBC walichukua bayometriki ya DP Ruto kabla ya kupiga kura katika kituo cha Sugoi.
Ruto alifika katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi ya Koschei akiwa amevalia kawaida.
Wakenya leo wanapiga kura zao katika vituo tofauti vya kupigia kura.