logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ruto ashinda katika eneo bunge la Igembe kaunti ya Meru

Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa 93,471.

image
na Radio Jambo

Habari13 August 2022 - 17:23

Muhtasari


  • Mgombea urais wa UDA William Ruto ameshinda eneo bunge la Igembe ya Kati, Kaunti ya Meru
Naibu rais William Ruto

Mgombea urais wa UDA William Ruto ameshinda eneo bunge la Igembe ya Kati, Kaunti ya Meru.

Ruto alipata kura 45,497 dhidi ya mwenzake wa Azimio Raila Odinga aliyepata 13,343.

George Wajackoya wa chama cha Roots alipata kura 294 huku David Mwaure wa chama cha Agano akipata kura 165.

Idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa 93,471.

Kulikuwa na kura halali 59,299 katika Igembe ya Kati na kura 438 zilizokataliwa.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) lazima ithibitishe Fomu 34B kutoka maeneobunge 290 na matokeo ya diaspora kabla ya kutangaza mshindi.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved