logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jamaa katoroka na mamake wa kambo na kumuacha babake hoi

Mtoto wake Nzioka aliyekuwa akifanya kazi Makindu kama afisa wa afya alihamishwa na kupiga kambi pale Tala ambapo alitangamana kila wakati na mamake wa kambo .Kimoja kilizaa cha pili na mtu na mamake wa kambo wakaanza uhusiano ambao haukuwa halali . Ingekuaje sasa mama wa kambo tena ajihusishe na  uhusiano na mwanawe wa kambo? Hilo halikuwakomesha kuendelea na mipango yao kwani mtoto wake Nzioka baada ya kutafakari hatua anayoeza kuchukua aliamua kumuacha baba yake hoi –kwa kukwepa na mamake w...

image
na Radio Jambo

Habari26 August 2020 - 07:29

Mtoto wake Nzioka aliyekuwa akifanya kazi Makindu kama afisa wa afya alihamishwa na kupiga kambi pale Tala ambapo alitangamana kila wakati na mamake wa kambo .Kimoja kilizaa cha pili na mtu na mamake wa kambo wakaanza uhusiano ambao haukuwa halali . Ingekuaje sasa mama wa kambo tena ajihusishe na  uhusiano na mwanawe wa kambo? Hilo halikuwakomesha kuendelea na mipango yao kwani mtoto wake Nzioka baada ya kutafakari hatua anayoeza kuchukua aliamua kumuacha baba yake hoi –kwa kukwepa na mamake wa kambo hadi Mombasa!

 

Mtoto wake Nzioka aliyekuwa akifanya kazi Makindu kama afisa wa afya alihamishwa na kupiga kambi pale Tala ambapo alitangamana kila wakati na mamake wa kambo .Kimoja kilizaa cha pili na mtu na mamake wa kambo wakaanza uhusiano ambao haukuwa halali . Ingekuaje sasa mama wa kambo tena ajihusishe na  uhusiano na mwanawe wa kambo? Hilo halikuwakomesha kuendelea na mipango yao kwani mtoto wake Nzioka baada ya kutafakari hatua anayoeza kuchukua aliamua kumuacha baba yake hoi –kwa kukwepa na mamake wa kambo hadi Mombasa!


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved