Jamaa katoroka na mamake wa kambo na kumuacha babake hoi

Mtoto wake Nzioka aliyekuwa akifanya kazi Makindu kama afisa wa afya alihamishwa na kupiga kambi pale Tala ambapo alitangamana kila wakati na mamake wa kambo .Kimoja kilizaa cha pili na mtu na mamake wa kambo wakaanza uhusiano ambao haukuwa halali . Ingekuaje sasa mama wa kambo tena ajihusishe na  uhusiano na mwanawe wa kambo? Hilo halikuwakomesha kuendelea na mipango yao kwani mtoto wake Nzioka baada ya kutafakari hatua anayoeza kuchukua aliamua kumuacha baba yake hoi –kwa kukwepa na mamake wa kambo hadi Mombasa!

 

Mtoto wake Nzioka aliyekuwa akifanya kazi Makindu kama afisa wa afya alihamishwa na kupiga kambi pale Tala ambapo alitangamana kila wakati na mamake wa kambo .Kimoja kilizaa cha pili na mtu na mamake wa kambo wakaanza uhusiano ambao haukuwa halali . Ingekuaje sasa mama wa kambo tena ajihusishe na  uhusiano na mwanawe wa kambo? Hilo halikuwakomesha kuendelea na mipango yao kwani mtoto wake Nzioka baada ya kutafakari hatua anayoeza kuchukua aliamua kumuacha baba yake hoi –kwa kukwepa na mamake wa kambo hadi Mombasa!