logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Maajabu!Mbuzi na kuku wamtembelea mmiliki wao hospitalini baada ya kulazwa Kitui

Kulingana na Ghost Kuku na Mbusi hao walienda kumtembelea,mmiliki wao

image
na Radio Jambo

Burudani25 August 2021 - 05:20

Muhtasari


  • Mbuzi na kuku wamtembelea mgonjwa hospitalini Kitui
  • Kulingana na Ghost Kuku na Mbuz hao walienda kumtembelea,mmiliki wao baada ya kulazwa hospitali akiwa mgonjwa

Katika kitengo cha story za Ghost alisimulia jinsi mbuzi na kuku waliwashangaza madaktari katika hospitali moja kaunti ya Kitui.

Kulingana na Ghost Kuku na Mbuzi hao walienda kumtembelea,mmiliki wao baada ya kulazwa hospitali akiwa mgonjwa.

Kaunti hiyo ilivuma mapema mwaka huu baada ya mamba mmoja kumwangukia na kumuuma dereva wa lori kutoka juu.

"Katika kaunti ya Kitui, mbuzi na kuku waliwashangaza madaktari na watu baada kuingia hospitali

Mbusi aliingia kwenye eneo la mapokezi, kisha kuku wakafuata, walienda mpaka wadi ambayo mgonjwa wao alikuwa amelazwa

KUku hao walipanda mpaka kitandani alipo kuwa mgonjwa huyo, ilhali mbuzi allikuwa kando ya kitanda hicho."

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved