logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Baba yangu ana mazoea ya kumwaga chakula akiwa amelewa

Bwana Mutuma alisema kwabma Mapema wiki hii, baba yake alifika nyumbani akiwa amelewa

image
na Radio Jambo

Habari15 June 2021 - 14:02

Muhtasari


  • Kaika kitengo cha Nyahunyo na Mbusi na Lion teketeke mwanamume mmoja alitaka baba yake apigwe nyahunyo baada ya kuwa na mazoea ya kumwaga chakula akilewa

Kaika kitengo cha Nyahunyo na Mbusi na Lion teketeke mwanamume mmoja alitaka baba yake apigwe nyahunyo baada ya kuwa na mazoea ya kumwaga chakula akilewa.

Bwana Mutuma alisema kwabma Mapema wiki hii, baba yake alifika nyumbani akiwa amelewa chakari na kumwaga githeri iliyokuwa na matumbo.

Huu hapa usimulizi wake;

"Nataka baba yangu apigwe nyahunyo kwa maana anamazoea ya kumwaga chakula akiwa amelewa na endapo amekosana na mama yangu

Alianza hiyo tabia nikiwa na umri wa chini, mapema wiki hii alimwaga githeri na matumbo ambayo mama yangu alikuwa ametayarisha

Tulilala njaa mimi na ndugu yangu," Alieleza Mutuma.

KUna baadhi ya watu ambao wana mazoea ya kuharibu vitu kwa nyumba baada ya kuwa na hasira na kusababisha hasara kubwa, ndio maana wahenga walisema hasira hasara.

Wanajambo waliamua mzee huyo apewe nyahunyo ili arekebishe taba yake.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved