logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Jamaa aiba na kutumia chupi za wanawake kwa 'kunyonga'

Jamaa mmoja kutoka Kikuyu alitaka jirani yake apigwe nyahunyo kwa kuiba chupi za wanawake.

image
na Radio Jambo

Habari18 August 2021 - 14:04

Muhtasari


  • Jamaa aiba na kutumia chupi za wanawake kwa 'kunyonga'
  • Nani amekosea jamii au amekukosea umlete katika kitengo cha Nyahunyo atolewe makosa, na kurekebishwa tabia zake

Nani amekosea jamii au amekukosea umlete katika kitengo cha Nyahunyo atolewe makosa, na kurekebishwa tabia zake.

Je umewahi kaa kwenye ploti hii Kanairo na ukapoteza chupi yako ya ndani na kushindwa haswa nani aliiba?

Jamaa mmoja kutoka Kikuyu alitaka jirani yake apigwe nyahunyo kwa kuiba chupi za wanawake.

Je baada ya kuiba anafanyia nini chupi kama haendi kuuza?

Kulingana na jamaa huyo, mwanamume huyo amekuwa akiiba chupi hizo na kuzitumia kwa 'kunyonga' yaani kimombo 'Masturbate'.

Hii ni tabia ambayo imeibuka hasa kwa kisasi hiki cha sasa.

"Nataka Brayo apewe nyahunyo, kwa sababu amekuwa akiiba chupi za wanawake wakianika na kuzitumia kwa 'kunyonga'

Alipatikana akiiba na mwanamke mmoja amabpo tulienda kwa nyumba yake na kupa chupi nyingi ambazo alikuwa ameiba," Alisimulia jamaa huyo.

Je anastahili nyahunyo au ni kwa raha zake? 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved