logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Kipusa amekuwa akifanya ngono na wanaume licha ya kujua ana virusi vya ukimwi

Kulingana na jamaa huyo kipusa huyo amekuwa akifanya ngono na wanaume

image
na Radio Jambo

Burudani30 August 2021 - 13:55

Muhtasari


  • Kipusa amekuwa akifanya ngono na wanaume licha ya kujua ana virusi vya ukimwi

Nani amekosea jamii au amekukosea, kwa sababu makosa yao huwa tunayaleta kwenye kitengo cha nyahunyo na kutolewa makosa.

Siku ya JUmatatu jamaa mmoja alitaka kipusa mmoja atolewe makosa baada ya kuwaambukiza wanaume virusi vya ukimwi.

Kulingana na jamaa huyo kipusa huyo amekuwa akifanya ngono na wanaume hao licha yake kujua kwamba ana virusi hivyo.

"Nataka mwanamke mmoa ambaye anafahamika kama Alce atolewe makosa kwa sababu amekuwa akiwaambukiza wanaume virusi vya ukimwi

Amekuwa akifanya ngon na wanaume hao, licha ya kujua kwamba ana virusi vya ukimwi, nilionya rafiki yangu ambaye allikuwa anataka kuingia katika mtego wake," Alisimulia jamaa huyo.

Je mwanamke huyo alistahi nyahunyo au la?

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved