logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Karani wa shule ya msingi ya Milimani apewa nyahunyo kwa kuvyonza karo ya wanafunzi

Sio mmoja au wawili ambao wamekuwa wakitolewa makosa baada ya kukosea jamii au wenzao.

image
na Radio Jambo

Burudani01 September 2021 - 14:03

Muhtasari


  • Karani wa shule ya msingi ya Milimani apewa nyahunyo kwa kuvyonza karo ya wanafunzi

Wakikosea jamii au wakikukosea hatujakuwa tukiwaacha huru,bali tumekuwa tukiwapa nyahunyo ili warekebishe tabia zao.

Sio mmoja au wawili ambao wamekuwa wakitolewa makosa baada ya kukosea jamii au wenzao.

Siku ya Jumatano mama mmoja alimtaka katibu au karani wa shule ya msingi ya milimani  kwani amekuwa akila na kuvyonza karo ya wanafunzi wa shule hiyo.

Kulingana na mwanamke huyo karani huyo amekuwa na mazoea ya kuwaambia wazazi kwamba hawajamaliza kulipa karo ya shule licha yake kupewa pesa.

"Nataka karani wa shule ya msingi ya Milimani apewe nyahunyo kwa sababu amekuwa na mazoea ya kuvyonza karo ya wanafunzi licha ya kulipwa na wazazi

Tumewasilisha malalamiko kwa mwalimu mkuu, na kutumabia kwamba atamfuta kazi, lakini tunampata hapo, ana sema kwamba hajaandikwa kazi na wazazi bali na usimamizi wa shule." Alieleza.

Je alistahi nyahunyo au la?

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved