logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Jamaa achapwa nyahunyo kwa kuenda haja ndogo kwenye gari lake

Kulingana na mwanamume huyo amekuwa akienda haja ndogo kwenye chupa

image
na Radio Jambo

Makala09 February 2022 - 15:07

Muhtasari


  • Jamaa achapwa nyahunyo kwa kukojolea gari lake

Wakifanya tabia mbaya tunawachapa,upuzi tuna chapa,uzembe na upuzi tunachapa nyahunyo hata makosa tuna chapa nyahunyo kwenye kitengo cha nyahunyo.

Siku ya Jumanne jamaa moja ambaye anafanya kazi ya kuosha gari, alitaka mteja wake achapwe nyahunyo kwa ajili ya tabia ambayo amekuwa akifanya kwa muda mrefu.

Kulingana na mwanamume huyo amekuwa akienda haja ndogo kwenye chupa na kutupa kwenye gari lake wakati anapopeleka ikaoshwe.

"Nataka mtej wangu ambaye ana mazoea mabaya achapwe nyahunyo anatabia ya kukojolea chupa na kuweka kchini ya gari yake tunaona tunapoanza kuosha gari lake

Ni tabia ambayo amekuwa akifanya kwa muda mrefu, kisha anatuambia apate gari lake limeng'ara, sio tabia ya kupendeza wala ya kufanywa na mtu ambaye amekomaa."

Je jamaa huyo alikuwa na maosa ua la?

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved