logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nyahunyo:Jamaa achapwa nyahunyo kwa kumng'olea mpangaji wake mlango

Omar atolewe makosa kwa kumng'olea mpangaji wake mlango,

image

Vipindi01 March 2022 - 15:01

Muhtasari


  • Wakikosea jamii tunachapa nyahunyo, wakikukosea tuna chapa, wakifanya tabia mbaya tunachapa nyahunyo

Wakikosea jamii tunachapa nyahunyo, wakikukosea tuna chapa, wakifanya tabia mbaya tunachapa nyahunyo.

Baada ya janga la corona kuripotiwa nchini kila mwananchi aliathirika kwa njia moja au nyingine, huku wenye nyumba wakiwasukuma wapangaji kulipa kodi ya nyumba.

Katika kitengo cha nyahunyo, mwanadada mmoja kutoka Malindi alitaka mwenye nyumba ambaye alifahamika kama Omar atolewe makosa kwa kumng'olea mpangaji wake mlango, kwa maana hakuwa amelipa kodi kwa mwezi mmoja.

"Nataka mwenye nyumba atolewe makosa kwa kumng'olea mpangaji wake mlango kwa sababu hakuwa amelipa kodi ya nyumba kwa mwezi mmoja

Licha ya hayo yote alipewa pesa ya kodi akakataa, na wapangaji hao walikuwa na mtoto mchanga."

Licha ya kuwa na haki ya kutaka haki ya kulipwa kodi wanajambo waliamua kwamba Omara ana makosa.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved