logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO:Nilikosana na ndugu yangu baada ya mke wake kuleta vitina

nataka tupatanishwe naye kwa maana ni yeye mkubwa wa boma na tunapaswa kukuangalia na kufuta nyayo zako.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri12 October 2020 - 05:33

Muhtasari


•Nilikosana na ndugu yangu baada ya mke wake kunitusi

•Nilikuwa namfanyia kazi eneo la Limuru

•Mke wake alileta vitina

•Nilijitenga na mambo yake na kurudi nyumbani

Gidi na ghost

 

Bwana Benson alituma ujumbe ili apatanishwe na ndugu yake mkubwa Joseph baada ya yake kuamini vitina vya mkewe.

Huku akieleza usimulizi wake bwana Benson alikuwa na haya ya kusema,

 

"Nilikuwa nafanyia ndugu yangu kazi baada ya muda mkewe alileta vita huku akisema ya kwamba hataki tuishi pamoja

nilifuganya virago na kuenda nyumbani baada ya kufika nyumbani mke wake alinipigia simu na kusema ya kwamba nilisema kuwa yeye ni mchawi na ni malaya na kunitusi vibaya sana

kutoka siku hiyo sijawahi ongea na ndugu yangu kwa maana alisema kuwa hataki kuzungumza nami

nataka tupatanishwe naye kwa maana ni yeye mkubwa wa boma na tunapaswa kukuangalia na kufuta nyayo zako." Alieleza Benson.

Baada ya Joseph kupigiwa simu alisema kuwa;

"Mimi sina shida na wewe na wala sina kinyongo nawe, ninampenda sana lakini wewe ulikuwa na hasira na kusema mke wangu ameniroga

Sina shida naye kabisa kwa maana ni ndugu yangu mdogo na nimemlea, nataka tuishi kama ndugu." Alisema Joseph.

Kwa mengi zaidi tembelea mitandao yetu ya youtube.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved