Bwana Odiambo alituma ujumbe ii apatanishwe na mkewe Susan ambaye walikosana naye miaka mitatu iliyopita.
"Nilikosana na mke wangu baada ya yeye kuenda kwa dada yake baada ya muda ndugu yake aliaga dunia na nikawatuma wazazi wangu kuhudduria mazishi, mazishi yalipokamilika nilimpigia simu na kuniambia kuwa atakuja
Kwa miaka hiyo yote amekuwa nikimtumia nauli anafunga simu, na kuniambia kuwa anatakuja tu
Hata ni kama ameniekelea kuwa mtoto aliye naye ni wangu kwa maana anamfanana." Aliongea Odhiambo
Baada ya kumpigia mkewe alikuwa na haya ya kusema.
"Hjawahi nipigia simu alinitumia ujumbe jana na kuniambia ni rudi, kwanza mambo ya kwao yamenichosha kabisa na sitawahi rudi
Kwanza anazungumza ilhali ameoa mimi nimemueka huru aendelee na maisha yake mimi sirudi kwake kwa maana mwaka ujao nataka kurudi shule
Anadai amewahi ona mtoto ilhali nilitoka kwake nikiwa na mimba hajawahi ona mtoto." Alisema Susan.