logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho: Mume wangu amekuwa akizungumza na ex wake ilhali ameolewa

"Mume wangu amekuwa akizungumza na ex wake,

image
na Radio Jambo

Habari17 November 2020 - 05:40

Muhtasari


  • Mume wangu amekuwa akizungumza na ex wake ilhali ameolewa
  • Bi Lilian na Joseph wamekuwa kwa ndoa kwa muda wa miaka miwili
zawadi

Leo katika kitengo cha patanisho Bi.Lilian alituma ujumbe apatanishwe na mumewe Joseph ambaye hawaongeleshani kwa maana mumewe amekuwa akizungumza na alyekuwa mke wake.

"Mume wangu amekuwa akizungumza na ex wake, kuna siku ambayo walikuwa wanazungumza kwenye facebook, baada ya hapo wanaoigiana simu kwenye whatsapp

nilipomuuliza anasema ya kwamba alikuwa anamuuliza bei ya dengu, ni jambo ambalo linaniumiza sana moyo, pia nilimpata amepakia picha za eex wake kwenye mitandao ya whatsapp licha ya kuwa ex wake ameolewa." Alieleza LIlian

 

Wawili hao wamekuwa katika ndoa kwa miaka miwili, baada ya kufanya juhudi zetu za kumpigia bwana yake alikuwa na haya ya kusema,

"Mimi niliambia mke wangu kuwa ni yeye tu na hakuna mwingine mimi sina haja na e wangu kwa maana ameolewa na pia aliyekuwa mke wangu alimwambia kuwa hana haja nami

Nampenda tu mke wangu na hakuna mwanamke mwingine." Joseph Alisema.

Kwa mengi zaidi tembelea radiojambo youtube.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved