logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho:Niligundua kuwa mtoto wangu si wangu bali ni wa mtoto wa ndugu yangu

"Nilikosana na baba yangu aliponisomesha na kisha nikakataa shule,

image
na Radio Jambo

Habari21 December 2020 - 05:52

Muhtasari


  • Nilikosana na baba yanu baada ya yake kunisomesha lakini nikaacha shule

Katika kitengo cha patanisho bwana Eric Juma alituma ujumbe apatanishwe na baba yake waliokosana mwaka wa 2017 baada ya kumsomesha na kisha akakataa shule.

"Nilikosana na baba yangu aliponisomesha na kisha nikakataa shule, alinipeleka shule ya kupewa heshima lakini nilitoroka alinirudisha tena na nikatoroka tena

Baada ya kufikisha umri wa kuoa nilianza kuiba miraa ya baba yangu,ni mambo ambayo yalifanya baba yangu afukuze mama yangu." Aliongea Eric.

Baada ya kufanya juhudi za kumpigia baba yake ERic Bwana Stanley alikuw na haya ya kusema,

"Mimi si baba yako mama yako aliniambia kuwa wewe si mtoto wangu kwa hivyo siwezi kukusamehe

Baba yake Eric ni mtoto wa ndugu yangu, tulienda mpaka kwa sheria za watoto mama akaambiwa amlete mwanae lakini akakataa

Mimi siwezi msamehe kwa yale walinitendea." Aliongea Stanley.

Je unaweza wapa ushauri upi?

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved