logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho:Mume wangu aliniwekea chakula sumu

"Huyu mwanamume aliniwekea chakula sumu, nillijua kuwa kina sumu baada ya kubadili rangi na kuwa cheusi

image
na Radio Jambo

Habari19 July 2021 - 05:48

Muhtasari


  • Mkikosana haya basi walete kwenye kitengo cha patanisho ili wapanishwe na kurudisha uhusiano wao
  • Katika kitengo cha patanisho, bwana Gabriel alituma ujumbe ili apanishwe na mke wake ambaye wamekuwa pamoja kwa miaka 9 baada ya kutoroshwa nyumbani na mjomba wake

Mkikosana haya basi walete kwenye kitengo cha patanisho ili wapanishwe na kurudisha uhusiano wao.

Katika kitengo cha patanisho, bwana Gabriel alituma ujumbe ili apanishwe na mke wake ambaye wamekuwa pamoja kwa miaka 9 baada ya kutoroshwa nyumbani na mjomba wake.

"Naomba mnipatanishe na mke wangu wa miaka 9. Nilirudi nyumbani nikapata mjomba wake amemtorosha na watoto eti anaenda kumtafutia kazi Nairobi na nimewazoea. Mwanzo walimpeleka Voi, kufika huko nikapata wamempeleka Nairobi..."Alieleza Gabriel.

Baada ya kufanya juhudi za kumfikia mkewe alikuwa na haya ya kusema;

"Huyu mwanamume aliniwekea chakula sumu, nillijua kuwa kina sumu baada ya kubadili rangi na kuwa cheusi

Akiwa na pesa ni mbaya sana lakini akiwa hana pesa anakuwa yuko sawa,akitaka turudiane aende kwa wazazi wangu

Amekuwa akienda kwa mganga ili anitoe kafara, muhubiri wetu aliniambia hayo na anapenda wanawake kuna wakati alinizamba kofi kwa ajili ya mwanamke,"

Haya ni madai ambayo Gabriel aliyakana.Kwa mengi zaidi tembelea Radiojambo Youtube.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved