logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho:Mke wangu aliniacha kwa sababu ya hela

Kulingana na Eric wamekuwa pamoja  kwa miaka 2.

image
na Radio Jambo

Michezo23 July 2021 - 05:45

Muhtasari


  • Mke wangu aliniacha kwa sababu ya hela

Katika kitengo cha patanisho, bwana Eric alituma ujumbe ili apatanishwe na mke wake ambaye walikosana kwa ajili ya hela.

Kulingana na Eric wamekuwa pamoja  kwa miaka 2.

"Nilikosana na mke wangu kwa sababu ya hela. Ninafanya kazi Nairobi. Alikuwa ananunua bidhaa anaandaa chakula kisha ninakosa nafasi ya kwenda nyumbani. Akaona ninamdanganya, akapigia hesabu ya hela zote alitumia, akaniweka blacklist..."Alieleza Eric.

Baada ya kufanya juhudi za kumfikia mkewe, alidinda kuongea na mumewe na kumpa ndugu yake simu na kumwambia kwamba Irene ameshaa endelea na maisha yake.

Morris: "Mimi ni mume wa Irene. Ambia huyo jamaa kwamba Irene ameshasonga mbele hata nina watoto naye..."

Kwa uhondo zaidi tembelea Radiojambo Youtube.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved