logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho:Mume wangu alichapwa na mpenzi wa mwanamke wamekuwa wakizungumza sana

Kulingana na Geoffrey mkewe alikasirika kwa kuona namba ya mwanamke mwingine kwa simu yake.

image
na Radio Jambo

Habari31 August 2021 - 05:54

Muhtasari


  • Mume wangu alichapwa na mpenzi wa mwanamke wamekuwa wakizungumza sana

Katika kutengo cha patanisho bwana Geoffrey alituma ujumbe ili apatanishwe na mkewe Rebecca.

Kulingana na Geoffrey mkewe alikasirika kwa kuona namba ya mwanamke mwingine kwa simu yake.

"Naomba mnipatanishe na mke wangu wa miaka 3. Aliona nambari ya simu ya msichana fulani wa nyumbani na yuataka kujua ni nani eti ninaongea naye sana. Juzi nilimwambia kwamba ni mke wangu baada ya kunishinikiza nimwambie ni nani," Alisimulia bwana Geoffrey.

Baada ya kufanya juhudi za kumfikia mkewe alikuwa na haya ya kusema,

"Nilitaka kujua ni nani anazungumza naye kila wakti, kwa maana amekuwa akizungumza na msichana huyo kila wakati

Nilipomuuliza alikasirika, na ni mtu wa kukasirika sana, kuna wakati alitoka nje na akarudi akiwa amechapwa, kuangalia simu alikuwa amemwandikia mwanamke mwinine kwamba amechapwa na mpenzi wa mwanamke ambaye wamekuwa wakizungumza naye kwa sababu alikuwa ameenda kumtafuta."

 

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved