logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO:Nilikosana na mke wangu baada ya kukosa kuita mtoto wangu jina langu

Ninahuhakika kwamba moto ni wangu, nilikuwa nagharamikia mahitaji yote alipokuwa na ujauzito

image
na Radio Jambo

Habari20 April 2022 - 05:33

Muhtasari


  • Nilikosana na mke wangu baada ya kukosa kuita mtoto wangu jina langu
Gidi na Ghost

Katika kitengo cha patanisho bwana Kenga  alituma ujumbe ili apatanishwe na mkewe Purity ambaye walikosana baada ya kukataa kumuita mwanawe jina lake.

Huu aisimulia bwana Kenga alisema;

"Baada ya mke wangu kupata ujauzito alienda kwao na kuenda kujifungulia kwao, alipojifungua hawakumpa mtoto wangu jina langu nilitaka wampe mtoto jinalangu kwenye kyeti ha kuzaliwa

Ninahuhakika kwamba moto ni wangu, nilikuwa nagharamikia mahitaji yote alipokuwa na ujauzito,"Kenga alieleza.

Baada ya juhudi zetu za kumfikia mkewe kenga hakuwa na chochote cha kusema, ilhali alikata simu yetu.

Kwa mengi aidi temelea Radiojambo Youtube.

Je ushauri wako kwa bwana Kenga ni upi kuhusu jina lake kuwa kwenye kyeti cha mtoto wake.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved