Video: Tazama Patanisho live ndani ya Radio Jambo

Watangazaji mahiri Gidi na Ghost watakuwa wanapatanisha waliokosana kuanzia saa mbili unusu asubuhi.

Muhtasari

•Kitengo cha Patanisho kwenye kipindi cha Gidi na Ghost Asubuhi kitaanza saa mbili unusu na mashabiki watatoa maoni kuanzia saa tatu asubuhi. 

•Kelvin Khimisi anataka kupatanishwa na mchumba wake Millicent Adhiambo ambaye aliachana naye miezi chache kabla ya harusi.

"Kelvin Khimisi 26yrs kutoka Kariobangi. plz nisaidie niongee na Fiancée wangu anaitwa Millicent Adhiambo 25yrs. Tumekuwa kwa uhusiano kwa chini ya mwaka moja na ndio tulikuwa tumepanga kufunga ndoa huu mwaka. Nilikosana na yeye on 6th August 2024 baada ya yeye anafuata na kuskiza mambo ya watu sana. Kwa hivi sasa naskia ako rea ya Ngomongo huko Lucky Summer na mimi niko Kariobangi"