logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho: Kennedy aomba msamaha kwa baba mkwe kwa kukosa kutimiza ahadi ya kulipa mahari

Kennedy hata hivypo ako radhi kulipa mahari hiyo mwezi wa nne mwakani ili kuendelea kuishi na mkewe

image
na Brandon Asiema

Patanisho05 December 2024 - 09:23

Muhtasari


  • Kwa mujibu wa Kennedy, alikosa kulipa mahari kwa sababu kulingana na mila ya jamii ya Akamba, mwanamume hakubaliki kulipa mahari ikiwa mama wake hajalipiwa.
  • Kibisu, baba mkwe, alimtaka Kennedy kuelewana mwanzo na msichana wake kabla ya kumhusisha katika mazungumzo yao.