Kwa mujibu wa Kennedy, alikosa kulipa mahari kwa sababu kulingana na mila ya jamii ya Akamba, mwanamume hakubaliki kulipa mahari ikiwa mama wake hajalipiwa.
Kibisu, baba mkwe, alimtaka Kennedy kuelewana mwanzo na msichana wake kabla ya kumhusisha katika mazungumzo yao.