logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(Video) Jamaa aachwa kwa kunywa pesa za mkewe na na kumtishia kwa panga na nyundo

Ndoa ilisambaratika mwezi Januari baada yake kurudi nyumbani akiwa mlevi na kuibua mzozo na mkewe.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri06 April 2022 - 05:36

Muhtasari


•Wanjala alisema ndoa yake ya miaka saba ilisambaratika mwezi Januari baada yake kurudi nyumbani akiwa mlevi chakari na kuibua mzozo na mkewe.

Ghost na Gidi

Katika kipindi chetu cha Gidi na Ghost asubuhi kitengo cha Patanisho, jamaa aliyejitambulisha kama Christopher Wanjala (26) alituma ujumbe akiomba kupatanishwa na mkewe Nancy (26) ambaye walitengana naye kufuatia mzozo wa kinyumbani.

Wanjala alisema ndoa yake ya miaka saba ilisambaratika mwezi Januari baada yake kurudi nyumbani akiwa mlevi chakari na kuibua mzozo na mkewe.

Nancy alichukua watoto wao wawili na kurudi kwao nyumbani baada ya kugura ndoa yake na Christopher.

Tazama jinsi Patanisho ilivyokuwa:-


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved