logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Huwa namnunulia rafiki yangu pombe kisha nafanya mapenzi na bibi yake-Mwanamume atoboa siri

Kuna baadhi ya marafiki ambao ni marafiki lakini feki na watapeli, kuna wale wanataka kuvunja uhusiano wako

image
na Radio Jambo

Burudani27 January 2021 - 15:02

Muhtasari


  • Mwanamume asema amekuwa akichovya asali na mke wa rafiki yake baada ya kumlewesha

Je unamuamini rafiki yako kwa kila kitu ambacho huwa mnafanya pamoja au kwa ale huwa unamwambia?

Kuna baadhi ya marafiki ambao ni marafiki lakini feki na watapeli, kuna wale wanataka kuvunja uhusiano wako na watu ambao unapenda na pia wale ambao wanakutakia mazuri katika maisha yako.

Mwanamume mmoja aliyefahamika kama Stephen alitoboa siri na kueleza jinsi amekuwa akichovy asali na bibi ya rafiki yake baada ya kumlewesha.

 

"Nimekuwa nikifanya ngono na bibi ya rafiki yangu tanga mwaka jana Agosti, tumekuwa marafiki tangu mwaka wa 2010

Tumekuwa tukienda klabu kisha namnunulia pombe na kwamaana mimi sinywi pombe analewa, Richard ni mtu ambaye akilewa anakosa kujielewa

Nikimpeleka kwake huwa analala kwa kiti na mimi na mke tunaanza kazi, nataka kutobao siri hii kwa sababu mke wake sasa ana mimba na hatujui ni ya nani." Alieleza Stephen.

Haya kuwa makini na raiki yako kuanzia sasa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved