logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nilimpata mwalimu akiiba sukari 'staffroom'-Mwanamume atoboa siri

Kulingana na mwanamume huyo alikuwa katika shule ya wavulana ya miwaani.

image
na Radio Jambo

Habari16 June 2021 - 14:58

Muhtasari


  • Katika kitengo cha toboa siri na watangazaji wako uwapendao Mbusi na lion mwanamume na mwanafunzi ambaye alimaliza kidato cha nne mwaka wa 2019 alitoboa siri jinsi alimpata mwalimu akiiba sukari

Katika kitengo cha toboa siri na watangazaji wako uwapendao Mbusi na lion mwanamume na mwanafunzi ambaye alimaliza kidato cha nne mwaka wa 2019 alitoboa siri jinsi alimpata mwalimu akiiba sukari.

Kulingana na mwanamume huyo alikuwa katika shule ya wavulana ya miwaani.

"Siku moja nilimpata mwalimu akiiba sukari na kuekea mfukoni kwake, alipoona nimemuona aliniambia ya kwamba atanipa shillingi mia mbili ilininyamaze lakini alinikausha

Walimu walikuwa wanalalamika, hawajui mahali sukari inaenda kumbe ni mwalimu ambaye alifahamika kama Boniface alikuwa anaiba 

Nataka kumtobolea mwalimu mkuu na wanafunzi wa shule hiyo," Allieleza.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved