logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Aliyekuwa mwajiri wangu amekuwa akila asali yangu mkewe hajui-Mwanamke atoboa siri

Sio kummezea mate tu bali alikuwa mpango wake wa kando

image
na Radio Jambo

Habari21 June 2021 - 15:09

Muhtasari


  • Mwanamke asimulia jinsi alikuwa mpango wa kando wa mwajiri wake

Mwanamke mmoja katika kitengo cha toboa siri alisimulia, na kutoboa siri jinsi alyekuwa mwajiri wake alimmezea mate.

Sio kummezea mate tu bali alikuwa mpango wake wa kando, huku wakifanya tendo la ndoa kwenye kitanda cha mwajiri wake licha yake kuwa na mke.

"Nilikuwa nimeajiriwa kazi ya nyumba, mwajiri wangu mwanamke hakuwa ananibeba vyema, alkuwa ananitesa, kuniacha bila chakula kila siku

Nikimuuliza alikuwa ananiuliza kama nimeenda kufanya kazi au kula, baada ya muda mume wake alianza kunimezea mate kwa sababu nilikuwa nampelekea maji moto ya kuoga bafuni

Nikifika huko kumbe alikuwa ananingoja na kunionyesha mapenzi, kuna wakati nilafanya tendo la ndoa kittandani mwake mke wake akiwa kazini, na akinipelekewa kwenye mgahawa kula

Baada ya kutoka kazi nimekuwa naye pia, kwa hivyo nataka kumtobolea mke wake nimwambie mumewe amekuwa akiingia nyumbani akiwa amechelewa kwa sababu huwa anapitia kwangu na kunionyesha mahaba tele," Alisimulia Mwanamke huyo.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved