logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nimekuwa nikila paka wa majirani-Mwanamume atoboa siri

KUlingana na mwanamume huyo alianza kula paka wa majirani, kutoka mwaka jana.

image
na Radio Jambo

Burudani29 June 2021 - 14:55

Muhtasari


  • Mwanamume atoboa siri jinsi amekuwa akila paka wa majirani

Katika kitengo cha toboa siri na Mbusi na Lion Teketeke, mwanamume mmoja alitoboa siri jinsi amekuwa akichinja paka na kula.

KUlingana na mwanamume huyo alianza kula paka wa majirani, kutoka mwaka jana.

"Nataka kuwatobolea majirani zangu kwamba paka ambazo wamekuwa wakitafuta ni mimi nilichinja na kukaula

Niianza hii tabia mwaka jana, mimi siajaoa na wala sijawahi wapa familia yangu nyama ya paka,lakini kuna rafiki yangu ambaye alikuja kwangu na kunipata nikila nyama nataka kumtobolea siri nimwambie kwamba nyama hiyo ilikuwa ya paka

Nategea paka mwingine ambaye amekuwa akizunguka hapa kwa shamba," Alitoboa mwanamume huyo.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved