logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nilijifanya kuwa mwendawazimu ili nisiendelee na masomo-Mwanamume atoboa siri

Mwanamume mmoja alisimulia na kutoboa siri jinsi alijifanya kuwa mwendawazimu

image
na Radio Jambo

Habari05 July 2021 - 15:03

Muhtasari


  • Nilijifanya kuwa mwendawazimu ili nisiendelee na masomo

Wakishindwa kuweka siri kwa kawaida huwa wanamwaya mtama kupitia kwenye kitengo cha toboa siri.

Je kuna mtoto wako amekusumbua kwa muda sasa hasa akiwa shule, lakini hujfahamu sababu kwanini anakusembua.

Mwanamume mmoja alisimulia na kutoboa siri jinsi alijifanya kuwa mwendawazimu kwa maana hakuwa anataka kuenda shule.

"Nikiwa kidatoo cha pili nilijifanya kwamba nimeshikwa na wazimu, sababu ya kujifanya sikuwa nataka kuenda shule wala kuendelea na masomo

Mama yangu alinipeleka hospitali lakini madaktari walikuwa wanasema kwamba niko sawa na sina tatizo lolote

Mimi ndiye kitinda mimba, kati ya watoto kumi na wawili,nilikuwa najifanya kuwa wazimu wangu ni wavita nakuchapa watu

Nilipelekwa kwa muhubiri na nikaombewa , misha nikapona, nilikuwa nikulizwa kwa nini nimekuwa wazimu nasema kwamba ni akinana mama watatu majirani walikuwa wameniroga kumbe ulikuwa ni uongo," Alisimulia mwanamume huyo.

Je amtobolee mama yake siri hii au akae nayo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved