logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Taboo? Nina watoto wawili na mama wa kambo-Jamaa atoboa siri

Ni vitendo ambavyo vinazidi kuongezeka ambavyo vinawashangaza na kuwatamausha wengi

image
na Radio Jambo

Yanayojiri14 July 2021 - 14:58

Muhtasari


  • Katika kitengo cha toboa siri na watangazaji MBusi na Lion, mwanamume mmoja aliwaacha mashabiki wa Radiojambo  midomo wazi baada ya kufichua kile amekuwa akifanya na mama wa kambo.

Katika kitengo cha toboa siri na watangazaji MBusi na Lion, mwanamume mmoja aliwaacha mashabiki wa Radiojambo  midomo wazi baada ya kufichua kile amekuwa akifanya na mama wa kambo.

Usimulizi

"Baba yangu alimumba mama wa kambo wangu mwaka wa 2007,miaka mitatau sasa tumekuwa katika uhusiano wa kimapenzi, lakini ni yeye alinipenda wa kwanza yaani alirusha mistari na ananipenda sana

Tumebarikiwa na watoto wawili lakini baba yangu hajui kama ni wangu ilhali anafahamu kwamba ni wake, pia nataka kumtobolea mke wangu kwamba nina uhusiano wa kimapenzi na mama yangu wa kambo na pia watoto wake wawili ni wangu, na wala sio ndugu zangu,"

Ni vitendo ambavyo vinazidi kuongezeka ambavyo vinawashangaza na kuwatamausha wengi kwani wengi wao hawatambui utamaduni wa jamii ambao akina babu zetu walikuwa wanafuata.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved