logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ndugu yangu aliniambia nifanye tendo la ndoa na mkewe ili wapate mtoto-Mwanamume atoboa siri

PIa alisema makubaliano yao yalitoka baada ya ndugu yake kuwa na shinikizo kutoka kwa familia.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri19 July 2021 - 14:55

Muhtasari


  • Jamaa aeleza jinsi alimpa mke wa ndugu yake ujauzito

Kuku wakiwa wengi huwa wanamwaya mtama kwenye kitengo cha toboa siri, mwanamume mmoja alitooa siri jinsi walivyokubaliana na ndugu yake lakini mwishowe makubaliano yakageuka.

Kulingana na mwanamume huyo walikubaliana na ndugu yake afanye ngono na mkewe ili wapate mtoto kwa maana hana huwezo wa kumpa mkewe ujauzito.

PIa alisema makubaliano yao yalitoka baada ya ndugu yake kuwa na shinikizo kutoka kwa familia.

Usimulizi

"Ndugu yangu aliniambia nifanye ngono na mkewe ili apate ujauzito kwani hana uwezo wa kumpa mkewe ujauzito

Nilifanya vile tulikuwa tumekubaliana, sasa mkewe ana mtoto wa miezi saba, baada ya hayo ndugu yangu amekuwa akija nyumbani akiwa amelewa na kuana kunigombanisha

Alipoulizwa na wazazi alidai kwamba amenikopesha pesa na sijamregeshea ndio maana amekuwa akinigombanisha

Jana alimchapa mkewe, nataka kuwatobolea wazazi wangu kuwa sina pesa ya ndugu yangu lakini mtoto wake sio wake bali ni wangu na ni baada ya kukubaliana naye,"

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved