logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kuna mama ameniweka licha ya kuwa na mke nyumbani-Mwanamume atoboa siri

Nina bibi nyumbani ambaye amekuwa akitumiwa pesa na Halima

image
na Radio Jambo

Habari03 August 2021 - 14:54

Muhtasari


  • Kuku wakiwa wengi wanamwaya mtama katika kitengo cha toboa siri, jamaa mmoja ametoboa siri jinsi amekuwa akiekewa na wanawake baada ya kuja Nairobi
  • KUlingana na mwanamume huyo, alipatana na mama ambaye anafahamika mama Kanini, na alimueka

Kuku wakiwa wengi wanamwaya mtama katika kitengo cha toboa siri, jamaa mmoja ametoboa siri jinsi amekuwa akiekewa na wanawake baada ya kuja Nairobi.

KUlingana na mwanamume huyo, alipatana na mama ambaye anafahamika mama Kanini, na alimueka, baada ya muda alipatana na mwanamke ambaye ni daktari na amemueka vyema kumliko mama Kanini.

Siri

"Nilikuja Nairobi kutafuta kazi, nilipatana na mama anaitwa mama Kanini lakini niliachana naye na nikachukuliwa na mama ambaye ni daktar na gari

Mwanamke huyo anafahamika kama Halima, lakini Mama Kanini amekuwa akinipigia simu usiku nikiwa na Halima na amesema kwamba atamgonga na gari asiponiwacha

Nina bibi nyumbani ambaye amekuwa akitumiwa pesa na Halima, nataka kumtobolea Mama Kanini siri ni mwambie simtaki, kwa maana hakuwa ananisaida ilhali nilikuja Nairobi kutafuta pesa," Alisema Jamaa huyo.

Makubwa haya, je maoni yako kwa ajili ya mwanamume huyu ni yapi?

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved