logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mama mkongwe alinitoa nguo,alitaka tushiriki tendo la ndoa-Jamaa atoboa siri

Kulingana na jamaa huyo mama huyo alimuita ili amsaidie kufanya kazi

image
na Radio Jambo

Habari16 August 2021 - 14:59

Muhtasari


  • Jamaa atoboa siri jinsi mama mkongwe alitaka wafanye tendo la ndoa

Je unaeza kufanya tendo la ndoa na mama mkongwe kama wewe ni kijana?Mwanamume mmoja alimwaya mtama jinsi mama mmoja katima kijiji chao alitaka wafanye tendo la ndoa.

Kulingana na jamaa huyo mama huyo alimuita ili amsaidie kufanya kazi, lakini alipofika nyumbani kwake mambo yalibadilika.

"Kuna mama mkongwe ambaye ana miaka 77, katika kijiji chetu, ambaye amekuwa akiwataka vijana wafanye tendo la ndoa

Kuna wakati aliniita nikamsaidie kazi nyumbani kwake, nilipokuwa nikifanya kazi aliniangalia na kuanza kunipa maneno ya mapenzi ambayo sipendi, mimi ni kijana wa miaka 28, baada ya hapo alinitoa ngu akitaka tufanye tendo la ndoa

Sio mimi peke yangu bali mimi ni kijana wa nne kumfanyie tendo hilo,,nataka kutobolea wanakijiji ni waambie kwamba Naliaka amekuwa akitaka kuwabaka vijana wenye umri wa chini" Alitoboa siri Jamaa huyo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved