logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Wacha kunipigia simu nimeolewa,'Kipusa amtobolea mpenzi wake siri kwamba ameolewa

Nataka kumtobolea siri nimwambie nimeolewa na awache kunipigia simu,

image
na Radio Jambo

Yanayojiri02 November 2021 - 14:55

Muhtasari


  • Kipusa amtobolea mpenzi wake siri kwamba ameolewa

Kuku wakiwa engi wanamwaya mtamba katika kitengo cha toboa siri, mwanamke mmoja amewaacha shabiki wa radiojambo midomo wazi  baada ya kufichua jinsi amekuwa akimcheza mpenzi wake.

Kwa mujibu wa mwanake huyo, licha yake kuolewa, alipatana na mwanamume mwingine na kumdanganya kwamba hajaolewa na kwa ni pwani ilhali kwa ni Nakuru.

Hii hapa siri yake;

"Nataka kumtobolea mpenzi wangu au mpango wangu wa kando kwamba nmeolewa, nilipata naye miaka 3 iliyopita

Kabala ya kupata naye nilikuwa nimeolewa, ilhali mume wangu alikuwa anaishi Nairobi nami Nakuru, nikienda kumtebelea mume wangu nimekuwa nikimdanganya kwamba naenda Mombasa kuona wazazi wangu

Nataka kumtobolea siri nimwambie nimeolewa na awache kunipigia simu," Alieleza mwanamke huyo.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved