logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Mimi sikupendi, na ujauzito nilionao sio wako,'Kipusa amtobolea mpenzi wake siri

kipusa mmoja aliwaacha mashabiki wa radiojambo midomo wazi baada ya kumtobolea mpenzi wake siri.

image
na Radio Jambo

Habari08 November 2021 - 14:56

Muhtasari


  • Katika kipindi cha toboa siri siku ya JUmatatu, kipusa mmoja aliwaacha mashabiki wa radiojambo midomo wazi baada ya kumtobolea mpenzi wake siri

Kweli ya Mungu ni mengi ya kuku ni mayai tu, wadau  niliwaambia kuwa kuwaamini hawa 'daughters of Jezebel' kama  wanavyojulikana mitaani ni kama kupanda mbegu mahali haziwezi mea.

Katika kipindi cha toboa siri siku ya JUmatatu, kipusa mmoja aliwaacha mashabiki wa radiojambo midomo wazi baada ya kumtobolea mpenzi wake siri.

Hii hapa siri yake;

"Nataka kumtobolea mpenzi wangu siri, kwamba ujauzito nilionao wa miezi sita sio wake, na kwamba simpendi

Najua anaskiza radiojambo, lakini ajue tu natarajia mtoto wa mwanamume mwingine na ujauzito wenyewe ni wa baba ambaye ni mzee, na amekuwa akinitimizia vyema mahitaji yangu ya kitandani," Alisema kipusa huyo.

Pia alitaka ushauri je aendelee na mpeni wake au aende kuishi na baba wa mtoto wake.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved