In Summary
  • Joey Muthengi asema amempeza Willis Raburu huku mashabiki wakitoa hisia tofauti
  • Baadhi ya mashabiki waliwashauri wawili hao waoane

Mwanahabri Joey Muthengi na mtangazaji Willis Raburu ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wanapendwa sana na mashabiki.

Wawili hao walikuwa wakifanya kazi pamoja kwenye runinga ya Citizen kabla ya Joey kutoka kwenye runinga hiyo.

JWNk9kpTURBXy8zZmJjMjNkZDRjYWFkNmI0YWQxZjY1MWY3ZjIxZGIxNi5qcGeSlQLNAxQAwsOVAgDNAvjCw4GhMAE

Licha ya wawili hao kuwa wafanyakazi wa kampuni moja kwa muda mrefu wamekuwa marafiki wa karibu sana.

ย 

Kupitia kwenye ukurasa wake Joey wa instagram alipakia picha yake na Willis huku akisema kwamba amempeza rafiki yake.

"Niliamka leo nikifikiria rafiki wangu mzuri @Willisraburu. vile nimempeza." Aliandika Muthengi.

Baadhi ya mashabiki walitoa hisia na kusema kwamba wawili hao wanakaa vyema pamoja na kwamba wanapaswa kuwa wapenzi na kisha wafunge pingu za maisha.

amamophil: We demand a wife material show for the two of you, just my thoughts. ๐Ÿ™Œ

dougherty_imbisi: C you guys just become a couple once and for all?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ shida iko wapi?

samie_snr1: This guy is lucky to have such a friend sio rahisi

_malagho: ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅMatch made in heaven ๐Ÿ˜˜will attend the vows ๐Ÿ”๐Ÿ’๐Ÿ’love wins

ย 

ms_makarias: Mpendane tu single mingle

janenamuju: U make a lovley couple

franq_: mamboNyinyi oaneni tu. Lol

ndungu_tosh: @joey_muthengi siunifikilie pia ata kama hunijui,issa trend of love๐Ÿ˜‚

View Comments