Usikule fare!Mashirima Kapombe awashauri wanawake wenye tabia hii
- Mashirima Kapombe awashauri wanawake waache kula fare huku akisema wanapaswa kufika eneo hilo ili kujionea
Baadhi ya wanawake karne hii ya sasa wamesutwa vikali sana kwa kula nauli za wanaume yaaniย 'Boy child' kisha amakosa kukutana naye.
Wanaume wengi kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakilalamika sana kwa ajili ya tabia hii ya wanawake ambao walianzisha.
Huku mwanahabari Mashirima Kapombe akiwashauri wanawake kuhusu jambo hilo aliwaambia wasidhubutu kula nauli bali wanapaswa kufika humo na kuona mambo jinsi yalivyo.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Mashirima alikuwa na haya ya kusema,
"KIl nilidhani kuhusu Garissa ni tofauti sana na kile nilipata, maadili ya hadithi usikule fare ๐ Fika ujionee ๐picha ya mwisho ya kila kitu๐ฅฐ๐ธ โค," Aliandika Kapombe.
Ni ujumbe ambao uliibua hisia kati ya mashabiki wake na hizi hapa baadhi ya hisia zao;
blessingcarina: Mm nitumiwe nikule ๐๐
gracemakau409: ๐๐๐ ulikuwa unakula 2020 ee
itscynthiamwangi: Let's accept and move on ๐๐๐๐ we love love love
alikauleni; Kumbe umekuwa ukila fare? We shall see!๐
anniez21: Weuweee hio kitenge imewezaaa mbaya ๐ฅsoo lit Mashirima my all time mentor ๐ฅฐ
benardkoskey56: โค๏ธ๐ฅvery true
bampyspace_rider: ๐๐๐๐๐๐ sawa hunty hatutakula fare tena
sellyamutabi: Kabisaaaโค๏ธโค๏ธit was worth it my darling
hinzanaerick: Underline uskule fare๐