- Mashirima Kapombe awashauri wanawake waache kula fare huku akisema wanapaswa kufika eneo hilo ili kujionea
Baadhi ya wanawake karne hii ya sasa wamesutwa vikali sana kwa kula nauli za wanaume yaani 'Boy child' kisha amakosa kukutana naye.
Wanaume wengi kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakilalamika sana kwa ajili ya tabia hii ya wanawake ambao walianzisha.
Huku mwanahabari Mashirima Kapombe akiwashauri wanawake kuhusu jambo hilo aliwaambia wasidhubutu kula nauli bali wanapaswa kufika humo na kuona mambo jinsi yalivyo.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Mashirima alikuwa na haya ya kusema,
"KIl nilidhani kuhusu Garissa ni tofauti sana na kile nilipata, maadili ya hadithi usikule fare π Fika ujionee πpicha ya mwisho ya kila kituπ₯°πΈ β€," Aliandika Kapombe.
Ni ujumbe ambao uliibua hisia kati ya mashabiki wake na hizi hapa baadhi ya hisia zao;
blessingcarina: Mm nitumiwe nikule ππ
gracemakau409: πππ ulikuwa unakula 2020 ee
itscynthiamwangi: Let's accept and move on ππππ we love love love
alikauleni; Kumbe umekuwa ukila fare? We shall see!π
anniez21: Weuweee hio kitenge imewezaaa mbaya π₯soo lit Mashirima my all time mentor π₯°
benardkoskey56: β€οΈπ₯very true
bampyspace_rider: ππππππ sawa hunty hatutakula fare tena
sellyamutabi: Kabisaaaβ€οΈβ€οΈit was worth it my darling
hinzanaerick: Underline uskule fareπ