In Summary
  • Lulu Hassan ashinda tuzo la kuwa mzalishaji bora, katika tasnia ya uigizaji
  • Mashabiki wake walimpongeza mwanahabari huyo 
Lulu Hassan

Gala ya Toleo la pili la Tuzo za Wanawake Katika Filamu (WiFA) ilishuka Jumatano katika ukumbi wa michezo wa kitaifa wa Kenya.

Mwanahabari wa runinga ya Citizen Lulu Hassan alitwaa Tuzo ya Mzalishaji Bora (TV Dram-Maria), kupitia kampuni yake ya utengenezaji iitwayo Jiffy Pictures, ambapo pia ni Mkurugenzi Mtendaji.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mwanahabari huyo alitangaza habari hizo njema huku mashabiki wake wakimpongeza kwa bidii ya kazi yake.

Β 

"Naamka na kupatana na habari njema,asante Mungu na nawashukuru nyinyi nyote,nitashukuru milele," Aliandika Lulu.

Hizi hapa jumbe za wanamitandao wakimpongeza;

hassansarah: πŸŽ‰πŸŽ‰aayyyyy!!!CongratulationsπŸ’ƒπŸΎπŸ’ƒπŸΎ you absolutely deserve itπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ

kate_actress: CONGRATULATIONS πŸ‘πŸ‘

yasmeen_saiedi: Congratulations madam Boss ❀️

wanjikustephens: Congratulations are in order

captainotoyo: Hongera sana wakwehu.πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ’₯πŸ₯°πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Β 

pure_mwiks: Congratulations ma😍

a1collectionske: πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Congratulations

patakenya: You deserve it so much πŸ‘πŸ‘

tarbiewish: Congratulations 🎊 ❀️my all time role role model. May God keep on increasing your boarders ❀️

Β 

View Comments