'Ndio manake',Msanii Stivo Simple Boy awachangamsha wanamitandao baada ya kupakia picha hii
- Msanii Stvo Simple Boy awachangamsha wanamitandao baada ya kupakia picha akiwa na mwanamke mzungu
Msanii chipukizi Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amewachangamsha wanamitandao baada ya kupakia picha akiwana mwanamke mzungu.
Baada ya kupakia picha hiyo aliandika usemi wake ambao anaupenda wa 'Ndio manake'.
Wanamiandao hawajaweza kutulia baada ya kuona picha hiyo na hizi hapa baadhi ya hisia zao;
alex_mwakideu: Hapo sawa kabisa! Shikilia kabisaaaa!!!!
khaligraph_jones: Ndio Maanake, rada safi
vincent_vitalis_okech: Alaaaaa!!!!!!please show us the way master
robiemilly: Aki wewe pesa ๐๐๐๐
c.a.r.o.l._m: ๐๐Heri ww Stivo
mike_clatch: Give us the way master๐ข๐ข๐ข๐ข
jahrso: Stivo huyu ndio amechukuwa ile kitu๐ mvumilivu hula mbivu walai๐
maxcurry38: Kweli vitu ni simple na ww๐ฅบ...SASA ww hii baridi uko Tu glory! glory!
millymanyara: Harusi tunayo hatuna???๐ฅ๐ฅ๐ฅ
petermalovez: shika mtoto acha uoga
Msanii huyo alifahamika sana baada ya kutoa kibao chake cha 'mihadarati'.
Hii hapa picha hiyo